Treni Imeua Dar es salaam

0







Muda mfupi auliopita treni imegongana na gari aina ya RAV4 na dereva (me)amekufa muda huu na abiria(ke) yu mahututi. ni vema kwa waendeshao magari wakawa makini wanapokatisha njia za reli. RIP marehemu 

0 comments:

HAPPY BIRTHDAY TO MISS JOYCE.

0
The Lilly Melody Show would like to wish Miss Joyce a very Happy Birthday, enjoy every moment. 

0 comments:

EDNA AND BRAILLE'S BABYSHOWER

0
Hongereni sana wapendwa.
      Braille na Edna
      Braille na Edna
    Braille na Edna 
     Edna mwenyewe
    Hapo sasa, Edna katika pozi.. Kwani Mimba ugonjwa!! Ebo!!!
    Edna with a friend
    Marafiki 

0 comments:

DIAMOND AKUTANA NA SPORAH NJAU CLOUDS TV

0

Napenda kumshukuru mweyezi mungu kwa siku ya jana na hadi leo
 na siku zingine zote kwa upendo wake na baraka tele
zake kwangu.......Natumahi ya kuwa na wewe  mzima wa afya......
napenda kuchukua nafasi muda huu 
Kukuonesha yaliyojiri kwenye siku yangu ya jana.....
Napenda kumshukuru mungu kwa kila jambo jema na zuri kwangu
Jana wakati nawasili Clouds kwa ajili ya Interview nilifurahi sana na 
kufarijika pale nilipokutana
na Dada yangu...... au unaweza kusema mjasiriamali mwenzangu 
Sporah Njau 
akiwa nae amewasili akiwa na Interview mjengoni...

ZIFUATAZO NI PICHA KADHAA NIKIWASILI CLOUDS:



On set nikijiweka sawa kabisa kabla ya kuingia...si 
unajua tena usafi nini nin na nini......
Kawaida tu.....




Nikisalimiana......nae kwa Furaha.....!!









0 comments:

Sources Say Beyoncé Is Pregnant & Expecting 2nd Child With Jay-Z

0

Blue Ivy is going to be a big sister sometime next year. Reportedly, Beyoncé is pregnant with her second child by husband Jay-Z.E! reports that multiple source have confirmed that the “Put A Ring On It” singer is expecting.
Screen-shot-2013-05-13-at-9.12.36-AM


0 comments:

Dada yake Diamond aongea kuhusu NDOA

0
Esma Abdul ambae ni dada yake mwimbaji staa wa Tanzania, Diamond Platnums, amesema wamejiandaa vizuri kwa ajili ya harusi ya Diamond ambae anatarajiwa kumuoa mtangazaji wa TV aitwae Penny.

Esma ambae anaishi nyumba moja na kaka yake amesema, "Tumemkubali sana wifi yetu na tunampenda kwa sababu mtu yeyote mimi nitakaetambulishwa siwezi nikamkataa, manake nikimuingilia kwenye mapenzi yake na yeye ataniingilia kwenye mapenzi yangu."


Huu ni mwezi wa tano toka Esma amjue wifi yake ambae ni Penny, anasema nyumbani amekubalika na mipango ya harusi inaandaliwa japo hajui ni lini itafanyika, manake hiyo ni siri kwa sasa.

Zaidi ya wiki tano zilizopita, Diamond aliongea na kusema ndoa yake imekaribia kufungwa na huyo mkewe mtarajiwa ambae ni mjamzito lakini pia akathibitisha kumnunulia gari la kutembelea aliloliagiza nchini Japan - Hyundai IX 35.

Mpaka sasa Mwimbaji Diamond Platnums ambae aliongoza kwa kuwa msanii wa Tanzania alieandikwa sana kwenye internet 2012, ameshaingia kwenye headlines za kuwa mapenzini na mastaa wa kike Tanzania kipindi cha nyuma kama Jokate, Wema Sepetu na wengine.

0 comments:

Angelina Jolie's Shocking Revelation: I Had a Double Mastectomy

0


Angelina Jolie

The actress writes in a New York Times op-ed piece that she underwent the preventive surgery because of her high risk of breast cancer.

Angelina Jolie is taking no chances with her health.

The actress revealed in an op-ed piece forThe New York Times, running in Tuesday's edition of the paper, that she recently underwent a preventive double mastectomy because of her high risk of breast cancer.

Doctors told Jolie -- whose mother,Marcheline Bertrand, died six years ago at age 56 after a 10-year battle with ovarian cancer -- that she carries a "faulty" gene, BRCA1. They estimated that she had an 87 percent risk of breast cancer and a 50 percent risk of ovarian cancer.

"Once I knew that this was my reality, I decided to be proactive and to minimize the risk as much I could," she wrote. "I made a decision to have a preventive double mastectomy. I started with the breasts, as my risk of breast cancer is higher than my risk of ovarian cancer, and the surgery is more complex."

Jolie underwent three months of medical procedures, which began Feb. 2 and were completed April 27. The procedures included reconstruction of both breasts with implants.

Jolie added that she was able to continue working during that time while keeping the procedures a secret.

"But I am writing about it now because I hope that other women can benefit from my experience," she wrote. "Cancer is still a word that strikes fear into people’s hearts, producing a deep sense of powerlessness. But today it is possible to find out through a blood test whether you are highly susceptible to breast and ovarian cancer, and then take action."

She said it wasn't an easy decision for her to make, but her chances of developing breast cancer have dropped to less than five percent.

"I can tell my children that they don't need to fear they will lose me to breast cancer," she wrote. "It is reassuring that they see nothing that makes them uncomfortable. They can see my small scars and that’s it. Everything else is just Mommy, the same as she always was. And they know that I love them and will do anything to be with them as long as I can. On a personal note, I do not feel any less of a woman. I feel empowered that I made a strong choice that in no way diminishes my femininity."

Jolie was treated at the Pink Lotus Breast Center, which has four locations in the Los Angeles area and also has treated breast cancer survivor Sheryl Crow. Jolie wrote that her regimen will be posted on the center's website soon.

She also noted that Brad Pitt, her longtime partner with whom she has six children, has been "loving and supportive" throughout the entire process.

"For any woman reading this, I hope it helps you to know you have options," she wrote. "I want to encourage every woman, especially if you have a family history of breast or ovarian cancer, to seek out the information and medical experts who can help you through this aspect of your life, and to make your own informed choices."

0 comments:

CANCE WALK IN DOWNTOWN HOUSTON TX!!

0














0 comments: