KANISA KATOLIKI PAROKIA YA URU LAKUMBWA NA MAMBO YA KISHIRIKINA ( UCHAWI )

0


HOFU kubwa imetawala Kanisa Katoliki Parokia ya Uru iliyopo Wilaya ya Moshi Vijijini mkoani Kilimanjaro, kutokana na matukio kadhaa yanayoendelea kutokea katika kanisa hilo huku baadhi ya watu wakiyahusisha na imani za kishirikina. 
Katekista wa parokia hiyo, Lucian Tesha, aliwaambia waamini waliokusanyika katika ibada ya misa ya kwanza kanisani hapo juzi Jumapili kuwa usalama katika kanisa hilo upo shakani na kuwataka kuwa macho.
Hali hiyo inatokana na kile alichodai kuwa kuna mtu mmoja (mwanaume) kwamba amekuwa akionekana eneo la kanisa akiweka vitu mbalimbali ambavyo havina nia njema na kanisa hilo la Moyo Mtakatifu wa Yesu.
“Mtu huyu ameonekana kanisani hapa kwa mara ya nne sasa, hatujui anataka nini, lakini amekuwa akiweka vitu mbalimbali katika sanamu ya Bikira Maria na karibu na sakristi ya mapadri…kwa kweli hali hii inatisha.

"Ninawaomba tunapotoka kanisani hapa tuende kuangalia katika sanamu hiyo, kwani mtajionea vitu hivyo na wakati mwingine hata kadi za pikipiki,” alisema Tesha na kuacha waamini wakinong’ona. 

Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana kanisani hapo ni kuwa tangu paroko mpya aingie katika parokia hiyo, aliyefahamika kwa jina moja la Kiondo kumekuwa na matukio ambayo si mazuri.

“Tangu aingie hapa sanamu ya Mtoto Yesu imeibiwa na watu wasiofahamika… hatujakaa vizuri yanajitokeza haya mauzauza ya watu kuweka vitu visivyofahamika kanisani.

“Haifahamiki kama wanampima au la, lakini wengi wanajiuliza ni kwa nini matukio haya hayakuwapo siku zote? Alihoji muumini mmoja.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na matukio ya makanisa kushambuliwa na hivyo kuwaweka roho juu waamini na mapadri wanapokuwa wakishiriki ibada takatifu

0 comments:

RAIS KIKWETE AMTEMBELEA MFANYABIASHARA ALIYEMWAGIWA TINDIKALI HOSPITALINI SOUTH AFRICA.

0

HALI ni tete kuhusiana na tukio la bilionea Said Mohamed Saad kumwagiwa tindikali, athari ni kubwa. Jinsi alivyoharibika inatia simanzi lakini kumpata mhusika wa unyama huo ni kitendawili kinacholitega Jeshi la Polisi Tanzania.

Rais Kikwete akimjulia hali mmiliki wa Kampuni ya Home Shopping Centre, Said Mohamed Saad.
Said ambaye ndiye mmiliki wa Kampuni ya Home Shopping Centre, yenye maduka mengi makubwa ya vitu vya nyumbani ndani ya Dar es Salaam na mikoa kadhaa ya Tanzania, anaendelea na matibabu nchini Afrika Kusini lakini mmoja wa watu waliomshuhudia, amefafanua jinsi hali ilivyo mbaya.

“Ameungua sana, tunatarajia kati ya kesho au keshokutwa (wikiendi iliyopita) atafanyiwa oparesheni ya jicho. Jamani tindikali ni mbaya sana, usimmwagie mwenzako. Ndugu yetu ameharibika sana,” kilisema chanzo chetu kwa ombi la kutotajwa jina gazetini, kikaongeza:
“Kila anayemjua vizuri, anapomwona anamwaga machozi. Picha za jinsi alivyoathirika baada ya kumwagiwa tindikali zimevuja mpaka kwa familia, ni kilio kwa ndugu. Wanawake wanalia zaidi.”


JK ATINGA HOSPITALI

Wiki iliyopita, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, alikuwa kwenye ziara ya kikazi nchini Afrika Kusini alipokwenda kuhudhuria Mkutano wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini ya Afrika (SADC).

Mkutano huo ni wa Pande Tatu za SADC (Troika of SADC) na akiwa huko, alipata fursa ya kwenda kumjulia hali katika hospitali aliyolazwa ambayo haijajulikana jina.
Chazo chetu kilisema: “Rais Kikwete alisikitika sana. Wakati anatoka wodini alisonya. Alionesha jinsi alivyosikitishwa na unyama aliotendewa Said.”

WAPELELEZI WAMWAGWA KARIAKOO

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi, Kinondoni, Dar es Salaam, ACP Camillius Wambura aliwaambia waandishi wetu wiki iliyopita kwamba jeshi linaendelea kufanya kazi yake kuhakikisha linampata mhusika wa unyama huo.

“Mpaka sasa tuseme ukweli hatujampata mtuhumiwa au kitu kinachoonesha mtuhumiwa alivyo lakini kazi inafanyika. Tupo makini kwelikweli na tumeweka mkazo wa hali ya juu,” alisema Wambura.
Kwa upande mwingine, chanzo chetu ndani ya jeshi la polisi kimehabarisha kuwa idadi kubwa ya wapelelezi wamemwagwa Kariakoo, Dar es Salaam.

“Kuna mambo yanazungumzwa kuhusiana na tukio la Said kumwagiwa tindikali, yanafanyiwa kazi. Kutokana na ukweli kwamba msingi wa biashara za Said ni Kariakoo, vilevile kwa sababu inatambulika kuwa eneo hilo lina wafanyabiashara wengi, imebidi kulimulika kwa undani kabisa.
“Inawezekana ni chuki za kibiashara. Yaani aliyemtendea, ama alimshambulia au alifanya kulipa kisasi kutokana na vita ya kimaslahi. Hili suala tunaliangalia kwa upana sana ndiyo maana wapelelezi wamemwagwa Kariakoo.

“Wanachunguza kila taarifa. Kila kinachozungumzwa kinafanyiwa kazi na wale ambao itaonekana upo ulazima wa kuwakamata, watakamatwa ili kuisaidia polisi kufanikisha kumpata mtu ambaye alihusika na kummwagia tindikali yule bwana wa Home Shopping Centre,” kilisema chanzo chetu.

DAR YOTE INAPELELEZWA

Kwa mujibu wa chanzo chetu, pamoja na upelelezi kuwekewa mkazo Kariakoo lakini kazi ya kumsaka mhalifu aliyemfanyia unyama Said, inafanyika ndani ya jiji lote la Dar es Salaam pamoja na mikoa ambayo taarifa zitaelekeza.

“Kipindi chote ambacho upelelezi unafanyika, pengine zitaibuka taarifa zinazoelekeza mikoani ili kumpata mtuhumiwa, polisi watafika kote. Ukweli ni kwamba siyo tukio hili tu, jeshi la polisi limekuwa imara kufanyia kazi kila aina ya uhalifu.

“Pamoja na ugumu wa kumpata mtu hasa aliyemmwagia tindikali kutokana na mazingira yalivyokuwa, hilo halifanyi tukae kimya na tuache hili suala lipite. Maisha ya watu yanathaminiwa sana, unyama wa kuwadhuru wengine kwa vitu hatari kama tindikali, haukubaliki ndani ya polisi,” kilisema chanzo chetu na kuongeza:
“Maswali kuhusu aliyemmwagia tindikali hiyo, nani mhusika pamoja na sababu ya huyo aliyemmwagia tindikali, pengine ni mambo ambayo yanahitaji muda zaidi. Polisi wafanye kazi, mafanikio yake, yatatanzua utata wote.”

SHEMEJI MTU ATAJWA

Huku upelelezi ukiendelea, zipo taarifa kwamba mtu mmoja anayedaiwa kuwa shemeji wa Said, anatakiwa kuhojiwa kwani alishawahi kuripotiwa kuwa na uhusiano mbaya.

Ilibainishwa kwamba kumpata mhusika wa unyama huo, ni lazima kila aliyewahi kuripotiwa kuwa na tofauti za kijamii au kibiashara na Said, akamatwe na ahojiwe ili kuisaidia polisi.

“Yule shemeji yake ilishaelezwa waligombana sana. Mitandao ya kijamii ikaandika sana. Polisi hawatakiwi kudharau taarifa. Wamfuatilie huyo shemeji mtu, ahojiwe kwa makini,” alisema mfanyabiashara mmoja wa Kariakoo (jina tunalo), akaongeza:
“Siyo huyo shemeji yake peke yake, hata watu wengine wenye historia ya kugombana na Said, nao pia wamulikwe. Hili jambo ni nyeti, tena zito sana. Kumtenda binadamu ukatili wa kiwango hicho ni suala ambalo haliwezi kuvumilika.”

BODABODA TISHIO KWA NCHI

Said, alimwagiwa tindikali Julai 19, mwaka huu akiwa kwenye moja ya maduka yake katika Jengo la Msasani Mall, Dar ambalo nalo inadaiwa yeye ndiye analimiliki.
Taarifa za siku ya tukio zilibainisha kwamba Said alikuwa akizungumza na mfanyakazi wake mishale ya saa 1 jioni ndipo akatokea kijana mrefu, mwembamba ambaye alimmwagia kimiminika kinachosadikiwa kuwa ni tindikali.

Ilibainishwa kwamba mfanyakazi huyo wa Said, Hassan Ahmad naye alijeruhiwa kidogo katika purukushani hiyo lakini alipopelekwa Hospitali ya Ami Wellness Centre, alitibiwa na kuruhusiwa huku bosi wake akipelekwa Afrika Kusini usiku huohuo.
Kwa vile mtu aliyemmwagia tindikali Said alifika eneo la tukio na pikipiki, Kamanda Wambura (RPC Kinondoni), alisema kuwa uhalifu kwa njia ya usafiri huo ni mkubwa sana, kwa hiyo kuna taarifa inaandaliwa.

“Uhalifu wa pikipiki hususan bodaboda ni tishio kwa nchi yetu kwa sasa, kuna taarifa inaandaliwa na itatolewa baadaye kuhusiana na mwongozo wa usafiri huo pamoja na namna ambavyo kama nchi, tutakabiliana na uhalifu kwa njia ya bodaboda.

“Kwa sasa mamlaka husika zinakaa. Zinajadili, siyo suala la kupuuza kabisa. Majambazi sasa wanatumia pikipiki, tunashuhudia kwamba hata watu wanaotaka kutekeleza njama za mauaji, nao wanatumia bodaboda. Ni hatari sana,” alisema Wambura.

Said ni mfanyabiashara na mlipa kodi wa nchi yetu ambaye mchango wake ni mkubwa katika kulipa afya taifa kwa upande wa mapato na bajeti yake kwa jumla. Said, vilevile ni mhisani wa kijamii, kwani kupitia kampuni yake ya Home Shopping Centre, aliwasaidia sana waathirika wa mafuriko ya Bonde la Mto Msimbazi, mwaka juzi.

Mfanyabiashara huyo, aliipa kila familia seti ya vyombo vya nyumbani pamoja na taa zinazotumia nishati ya mwanga wa jua. Familia hizo ambazo idadi yake ilikuwa 655, zilipohamishiwa Mabwepande, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, Said alijenga madarasa ya shule ya msingi kwenye eneo hilo ili kusaidia upatikanaji wa elimu na kurahisisha huduma za kijamii.

Get well soon Said.

0 comments:

Beyonce and her hubby!!

0
img

When was the last time you dropped a few grand on an everyday household product or acted ridiculously in front of an audience of millions? … Yeah, that's what we thought! Not surprisingly, these are everyday occurrences for some of our favorite stars -- from Lady Gaga and Kim Kardashian to Hugh Jackman and Heidi Klum. Keep reading for a few prime examples of how stars are nothing like us.

They gift their pals' newborn with presents valued at $7,600.

What do you get the 1-month-old who has everything? If you're Beyonce and Jay-Z and the 1-month-old in question is the one and only North West -- pal Kanye West's offspring with Kim Kardashian -- Christian Dior baby booties are a good way to start. According to The Sun, Bey-Z spent more than $7,600 on presents for the newborn, including a three-piece sterling silver dinnerware set from Tiffany & Co. Because clearly the baby can tell the difference between a spoon from Tiffany's and that crap everyone else gets at Babys"R"Us.



0 comments:

Christina Aguilera definitely knows how to make her haters eat their words.

0


Christina Aguilera definitely knows how to make her haters eat their words. The returning "The Voice" coach turned heads at an NBC press event in Beverly Hills on Saturday, July 27, when she rocked the carpet in a tight pink minidress that revealed some major weight loss and a new, fit figure.

The singer, 32, looked tan and rested in a clingy pink frock as she struck poses on the red carpet. A source tells Us that Aguilera has managed her slim-down with a combination of healthy eating and working out.

"It's more of a mind-body thing for her," a source previously told Us of Aguilera's commitment to shedding the pounds. "She believes in exercise that she enjoys, doing strength work as opposed to intense cardio."

The singer has been showing off a slimmer figure in recent weeks, and made headlines when she debuted an estimated 20-pound weight loss on "The Voice" season four finale on June 18, when she performed with Pitbull.

"I'm the type of person that I cannot live in front of a camera 24 hours a day," the "Your Body" singer told reporters on Saturday. "I have to take breaks and stay connected with myself, and I think it's important so that you can then be your best on-camera and find your own happiness with it."

Last fall, Aguilera faced major scrutiny over her fluctuating weight, leading co-star Adam Levine to speak up in her defense during a Q&A in New York City on Oct. 26.

"The one thing about culture right now, celebrity culture particularly, is people feel like they can just say nasty things about other people, whether it's Christina or whether it's me," he said at the time. "She gets a lot and it pisses me off. Of course I have her back and of course I defend her."

You go girl!!

Follow us on Instagram @TLMSHOW 

like us on Facebook @THE LILLY MELODY SHOW


0 comments:

NeNe Leakes sued by wedding planner

0

NeNe Leakes has been hit with a lawsuit by a woman who claims she is owed payment for organizing the actress' wedding.

The "Real Housewives of Atlanta" star remarried her ex-husband Gregg Leakes in June, just two years after their initial divorce was finalized, and celebrity wedding planner Tiffany Cook claims she was hired to run the event but has not received full payment.

Cook filed legal papers in Georgia claiming Leakes promised to pay her 15 percent of the entire wedding budget plus fees for the design and execution of the ceremony and travel expenses to the event.

In the court documents obtained by TMZ.com, Cook claims Leakes' budget for the wedding was $1.8 million and she is therefore entitled to $270,000 in addition to her $889,900 design fees.

She is also asking for $1,750 in travel expenses.

Although Leakes made an initial down payment of $18,750, Cook alleges she has not received additional payment since and is suing for the remaining $1,142,900 balance, plus damages. She is demanding $2.5 million in total.

A representative for the actress refuted Cook's claims and insisted the actual wedding planner was Tony Conway, adding, "This lawsuit has no merit and it appears to be a baseless attempt to grab 15 minutes of fame."

Leakes herself adds, "I don't owe her a f--king dime."


Like us on Facebook @The Lilly Melody Show


0 comments:

KAJALA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA NA WATOTO YATIMA WA TANZANIA MITINDO HOUSE.

0

0 comments:

Week In Photos!!

0












0 comments:

Denzel Washington's rep slams divorce rumors

0

A representative for Denzel Washington has shut down reports that the actor is separating from his wife of 30 years.

Sources have told Star magazine that Washington and his partner, Pauletta, were on the verge of a divorce amid an alleged infidelity scandal, claiming the couple recently spent their wedding anniversary on opposite sides of the country. An insider told the publication, "She moved to New York to contemplate if she's ready to end the marriage for good."

But a spokesperson for the Oscar winner tells Gossip Cop, "They are not divorcing, not separating."

Life goes man! Haya Maisha ni kusuka au kunyoa!!

Like us on Facebook, Instagram 
@TheLillyMelodyShow

0 comments:

Did George Clooney dump Stacy Keibler over the phone?

0

Say what you will about George Clooney's romantic entanglements, but at least he's up front about what he's looking for (fun without commitment) and tends toward discretion. Which is why it's so strange that in the wake of his breakup with Stacy Keibler, stories are a-flying about who did the dumping (supposedly she did, because she "wants to have children and a family someday") and their alleged sex drought due to schedule conflicts. 

Now comes a different version courtesy of the New York Post, which says it was the A-lister who pulled the plug on the two-year relationship, calling Keibler last month to ask her to start moving out of his Los Angeles home. 

But in a "you can't fire me because I quit" move, a source insists to the paper that Stacy was ready to eighty-six Clooney anyway and had been "planning to move out for a while."

When she knew she wanted to end things with George, she started looking for a new place," explains the spy. "He has never asked her to move out. She's been very actively looking for the past few weeks."

The insider also pooh-poohed speculation that the former wrestler turned "Supermarket Swap" host wants to have kids: "Clearly that's not where her head is right now -- she lives in the moment."

And the moment has been very, very lucrative. The Post estimates that she's amassed $10 million from various promotional fees thanks to her connection with Clooney.

The Oscar winner is currently relaxing at his villa in Lake Como, Italy, and he apparently handled the split like a pro.

"He was very respectful, adult about the situation," a spy tells TMZ, "and they discussed the fact that they were friends before they dated and want to stay friends after."

Whew!! 

Like us on Facebook 
@TheLillyMelodyShow


0 comments:

RIHANNA'S KILLER BEACH BODY.

0








0 comments:

CONGRATULATIONS TO BRAILLE AND EDNA!

0
Hongereni Sana kwa kubarikiwa mtoto, Mungu awape hekima na upendo katika kumlea mwanenu. 
Welcome to the world baby Anansia! 







0 comments:

"GEREZANI KUMENIFANYA NIMJUE MUNGU VIZURI SANA"....HII NI INTERVIEW YA LULU MICHAEL

0


Kwa mara ya kwanza muigizaji wa filamu, Elizabeth Michael aka Lulu jana alifanya interview ya kwanza tangu atoke gerezani January mwaka huu. 

Lulu aliye na muonekano wa ‘udada’ zaidi alihojiwa jana kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV kinachoendeshwa na Zamaradi Mketema.
 Katia interview hiyo, Lulu aliongea masuala mengi kuhusu maisha yake ya sasa, mipango yake na mengine lakini akidai kuwa hatopenda kuongelea suala la uhusiano wake na Kanumba kwakuwa anahisi bado hajawa tayari ila muda ukifika atafunguka mengi. Haya ni baadhi ya masuala aliyoyazungumza.

Kuhusu uzinduzi wa filamu yake mpya Foolish Age


Ninaplan kufanya uzinduzi kwaajili ya movie yangu, lengo kubwa la kufanya uzinduzi ni kwamba kwanza nitajiskia vizuri kukutana na ‘okay these are my fans’ kukutana nao sehemu moja. Kuna vitu sitaweza kuongea kwenye interview ntahitaji kuviongea mwenyewe kama mwenyewe. 


Nitahitaji watu waone baadhi ya vitu vilivyopo kwenye movie. Movie inaitwa Foolish Age. Nitaizindua chini ya kampuni ya Proen (????) Promotions Ltd na ni kampuni ambayo ndio inanimanage kwa sasa.

Kuhusu kama ana boyfriend aliyemnunulia vitu vya thamani

Watanzania wengi tulishajiwekea ile dhana kwamba ‘ukiona mwanamke amefanya kitu basi there is a man behind, yaani ni ile dhani ipo tayari ndani yetu kwahiyo hata kama mtu atastruggle kutafuta kitu chake mwenyewe lakini hiyo itakuwa ni ukweli wako na unaujua mwenyewe . 


Kiukweli ni kwamba hakuna mwanaume yeyote ambaye amenifanyia chochote till now. Nachoshukuru tu ni menejimenti yangu, kampuni ambayo nafanya nayo kazi.


 Ni kampuni ambayo inanijali, inajali kazi zangu, inajali msanii wao kwahiyo whatever I’m having, whatever I’m doing ni mimi mwenyewe, ni kazi zangu ni biashara yangu.

Uhusiano wake na Mama Kanumba na jinsi alivyompata kufanya naye movie ‘Mapenzi ya Mungu’

Kwa sasa hivi tupo kama familia kwa hiyo it wasn’t hard mimi kumpata na nilijisikia vizuri kama ntaweza kufanya naye kazi. Kuna spirit ambayo ilinivuta zaidi nifanya kazi na Mama Kanumba kuliko labda mama mwingine.

Anachomiss kwa Kanumba

Busara zake, he was a person ambaye akikuona unaenda hivi he takes you in the right way.

Kuhusu kwanini mapenzi yake na Kanumba yalikuwa siri
Ni makubaliano tu and there was no need like to let people know yaani kumfanya kila mtu ajue nadhani haikuwa na maana kwetu.

Kuhusu kwanini alinenepa alipokuwa gerezani


Labda kwasababu nilimwachia Mungu kila kitu, nilimkabidhi Mungu kila kitu so I had this peace of mind. Niliacha kwamba yeye ni msimamizi wa kila kitu. Let me confess kwamba gerezani kumenifanya nimjue Mungu vizuri sana,. 


Kumenifanya nimjue na nimwamini na kumjua na kumwamini kumetokana kwamba kuna vitu vingi vimekuwa vinafanyika like naviona hivi kwa macho na naona kabisa kwamba hapa ingekuwa mimi kama mimi ama binadamu yeyote haiwezekani... 

So ni Mungu tu ndio ameweza kufanya hili likapita. Kwahiyo niliamua tu kumwachia yeye kila kitu nikajikuta tu nina amani.

0 comments:

RAIS BARACK OBAMA AMALIZA ZIARA YAKE,AREJEA NCHINI MAREKANI LEO MCHANA..

0

 Rais Barack Obama wa Marekani ameondoka nchini mchana huu,baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili iliyoanza jana.Rais Obama na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete,leo walitembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion iliopo Ubungo jijini Dar es Salaam na kuzindua rasmi mradi huo. 
 Picha hizi zimepigwa wakati Rais Obama na mwenyeji wake Rais Jakaya Kikwete,leo walipotembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion iliopo Ubungo jijini Dar es Salaam na kuzindua rasmi mradi huo. Picha hizi kwa hisani ya mdau 2jiachie.

0 comments:

Many Faces Of Tom Cruise

0


Tom Cruise played an immortal being in "Interview With the Vampire" -- and there's a slim possibility he may actually be one in real life. How else do you explain his perfect face and its lack of any discernible signs of aging? The A-list actor, who turns 51 on July 3, has barely aged since he first hit the silver screen back in 1981. Need proof? Just take a look back at how he's changed -- or not! -- since he made his Hollywood debut.

In 1982 -- a year after Tom made his debut in "Endless Love" and "Taps" -- the 20-year-old actor was photographed looking boyish yet handsome in a corduroy blazer and jeans.













This pic was taken when he had just turned 51 in July! 

The guy doesn't look old at all.

Live Tom.

Like my Facebook fan page 
The Lilly Melody Show

0 comments: