P SQUARE WAMUUMBUA DIAMOND PLATNAM..!! HAYA NDIYO WALIYOSEMA..!!

0

Mwanamuziki wa P square, Peter Okoye ameoneshwa kushangazwa na taarifa kwamba mwanamuziki wa bongo fleva Naseeb Abdul alihudhuria harusi yake hivi karibuni nchini Nigeria na kuhudhuriwa na mastaa mbali mbali akiwenmo msukumba gozi wa Totenham Hotspurs Adebayor.

Awali kupitia blogs mbali mbali kulisambaa taarifa kuwa dimond alikua mwanamuziki pekee afrika mashariki aliyealikwa katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na tajiri nambari moja afrika, Aliko Dangote.
Picha ya diamond akikata viuno katika harusi hiyo
Blogs hizo zilikwenda mbali kwa kumpamba diamond kwa vyeo vya ajabu ajabu ikiwemo Michael Jackson wa afrika mashariki jambo ambalo lilisababisha wengi kumponda.

Akihojiwa na kituo cha EATV mara baada ya kuwasili jijini Dar kwa ajili ya shoo iliyopigwa viwanja vya leaders club, Okoye alishangazwa na taarifa za dimond kuhudhuria katika harusi yake.


Okoye alikua akijibu swali aliloulizwaa na mtangazaji wa kipindi cha HotMix Adrian Hilary kuhusu diamond kuhudhuria harusi hiyo ambapo alionesha kushangazwa na jina hilo na kuhoji Diamond ni nani?

Kushangaa huko kulimaanisha licha Diamond kujichezesha mbele ya Okoye siku ya harusi yake lakini mwanamuziki huyo hakua akijua aliyekua akimzungushia viuno vya ngololo ni nani.

0 comments:

VIDEO MPYA YA SNURA WA MAJANGA.!

0

Nu V


               

0 comments:

NAOMBA NIKUJUZE KUHUSU HAYA MADHARA UTAYOYAPATA KWA KUTOFANYA TENDO LA NDOA KWA MDA MREFU! SOMA HAPA

0

Aise, kwa kawaida kama wewe si mgonjwa wa aina yoyote ile, kwa maana ya ugonjwa ku-offset system ya mwili, madhara ya kutofanya tendo la ndoa kwa muda mrefu ni makubwa kuliko unavyofikiria as long as upo ktk active range of age! madhara yapo ya Negative na positive.
Mfumo wa fahamu (central novous system) hutumia zaidi tendo la ndoa ku-radiate energy inayowezesha ubongo pamoja na mifumo mingine ya mwili kufanya kazi zake vizuri bila msongo. Suala hapa si lazima uke na uume kukutana na kuingiliana (penetration) ila tu stimulation(msisimko) inayofikisha mtu kileleni (orgasms). kwahiyo, nature(asili) inataka mke na mme kufanikisha zoezi hili maana ni jambo muhimu kama ilivyo kutoka jasho mwilini maana sio tu mwili unaondoa uchafu ndani lakini pia inacontrol joto la mwili (cooling effect).
Anayesema amekaa zaidi ya mwaka na hana madhara.., well sikatai wala sikubali maana hatuna ushahidi nalo lakini zipo njia nyingi mbadala kama kutumia sex toys, dildo(vibrant artificial penis zitumiazo umeme), usagaji n.k. sasa sijui yeye anatumia ipi sababu vichocheo anavyo mwilini and, it's brain iniciated.
Ukidumu bila tendo la ndoa muda mrefu, baadhi ya madhara madogomadogo nikama haya:
Hasira za mara kwa mara ktk mambo madogo,
kupendelea sana kuangalia picha za uchi,
Kusahausahau,
Kupendelea story za mapenzi,
Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),
Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),
Kuumwa na kichwa,
Kukakamaa mgongo (wanaume),
Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,
Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),
Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,
Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala kama ulevi n.k.

HABARI TOKA BONGO CLAN..! 

0 comments:

HONGERA HAPPINESS MLEWA!!!

0
Hayawi hayawi yamekuwa.. Dada Happiness Mlewa kapata mwenza.
Mungu akutangulie na kukuongoza katika safari ya maisha yako mpya, Roho Mtakatifu awe Mwalimu wako wewe na mume wako mtarajiwa daima katika ndoa  yenu, na meza yenu ya chakula izungukwe na baraka za watoto kutoka kwa Mungu. Amina!!!!!
     Kapendeza sana na msimamizi wake
     Baraka na Neema za Mungu
    Hongera sana Happiness 
     How about that cake!

0 comments:

P-SQUARE WATUA DAR "KUPAGAWISHA JUMAMOSI LEADERS CLUB".

0


Mwanamuziki wa kundi la P - Square, Paul Okoye akiwasili katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarake Nyerere, Tayari kwa ajili ya kutoa burudani kwa Watanzania, Msanii huyo aliambatana na Pacha wake Peter Okoye ambao kwa pamoja wanaunda kundi la P- Square. Wasanii hao wameambatana na wenzao 13 ambao watatoa burudani jumamosi ya tarehe 23 Novemba. Tamasha hilo limeandaliwa na East African Radio na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
 Wanamuziki wanaotajwa kuwa na mvuto zaidi barani Afrika, P Square, wamewasili usiku huu katika uwanja wa ndege wa Mwalimu JK Nyerere  kwa ajili ya onesho lao linalotarajiwa kufanyika Jumamosi hii katika viwanja va Leaders Club maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Pichani juu ni Petter(wa pili kutoka kushoto na Paul).
Kulia ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania ambao ndio wadhamini wakuu wa onesho lao ambalo limeratibiwa na East africa Radio na TV
Wanamuziki wa kundi la P- Square Peter na Paul Okoye wakisalimiana na Mtangazaji wa kiruo cha Televisheni cha EATV, mapema baada ya kuwasili katika Uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerer e jijini Dar es Salaam. Wasanii hao wameambatana na wasanii wengine 13 kutoka katika bendi yao. Tamasha hilo limeandaliwa naEast African Radio na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mwanamuziki wa kundi la P- Square Peter Okoye akizungumza na waandishi wa habari, mapema baada ya kuwasili katika Uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerer e jijini Dar es Salaam. Wasanii hao wameambatana na wasanii wengine 13 kutoka katika bendi yao.  Pamoja nao katika picha ni pacha wa msanii  huyo Paul Okoye ambao kwa pamoja wanaunda kundi la P - Square Tamasha hilo limeandaliwa na EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mahojiano na picha za hapa na pale zikiendelea...
Vijana wakielekea kupumzika tayari kwa kazi
  Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu  na Afisa Udhamini na Matukio wa kampuni hiyo  Ibrahim Kaude, wakiongozana na wasanii Peter na Paul Okoye punde baada ya kuwasili katika Uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerer e jijini Dar es Salaam. Wasanii hao wameambatana na wasanii wengine 13 kutoka nchini Nigeria.
 Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu akizungumza na wasanii Peter na Paul Okoye punde baada ya kuwasili katika Uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerer e jijini Dar es Salaam. Wasanii hao wameambatana na wasanii wengine 13 kutoka nchini Nigeria.
asanii Peter na Paul Okoye wakiwa kwenye gari, kuelekea Hotelini kwa ajili ya mapumziko punde baada ya kuwasili katika uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Nyerer e jijini Dar es Salaam.



HABARI KWA HISANI YA JESTINA GEORGE BLOG.

0 comments:

PLEASE PLEASE PLEASE EAST AFRICAN'S COME OUT AND LET' US SAVE KELVIN'S LIFE.

0
 

EAST AFRICA...  EAST AFRICA...  EAST AFRICA...
AN ‘URGENT’ APPEAL TO SAVE 24 YEAR OLD KEVIN’S LIFE! FROM KENYA.
I Had a Chance To Meet Kelvin's Mother Yesterday On The Sporah Show And I must Say IT IS VERY VERY ‘URGENT’
Kelvin need a bone marrow transplant from an un-related ‘healthy' donor to beat the disease... MUST BE FROM EAST AFRICA.

Kevin's family are deeply concerned the East African Community will not support a campaign by Kevin Kararwa to sign up new potential donors. 
Historically very few East Africans have signed up to become potential donors; they either don't know, are fearful or have been misinformed about how simple it is to donate bone marrow cells.
PLEASE PLEASE PLEASE EAST AFRICAN'S COME OUT AND LET' US SAVE KELVIN'S LIFE.

PLEASE HELP SUPPORT KELVIN THROUGH YOUR SOCIAL NETWORKS HELPS US SPREAD THE WORD FASTER BY SHARING THIS ON YOUR FACEBOOK, TWITTER, INSTAGRAM ETC..

PLEASE WRITE ABOUT KELVIN ON YOUR BLOG, WEBSITE OR PODCAST.
A ONE AND ONLY MATCH FOR KEVIN DONOR DRIVE WILL TAKE PLACE: Sunday 24th November. Time: 4pm till 6.30pm. Venue: Presbyterian Church of East Africa, St Matthews Church, Dyson Road, London E15 4JX 

READ MORE ABOUT KELVIN ON www.aclt.org

Kevin Kararwa, a 24 year old Business Systems student, studied at University of Portsmouth for 4 years and lives in Morden South London.

In March 2012 Kevin started having a cold and flu like symptoms that was not healing. It lingered for 3 weeks. At the time Kevin was a student at the University of Portsmouth studying a 4 year degree in Business Systems and also working part time at Carphone Warehouse in Portsmouth.
Kevin's mother Veronica Kararwa was deeply concerned that every time they spoke on the phone she noticed that a cold and flu was still there. She questioned him about it and kept asking if he had seen a doctor. Kevin promised he would see a doctor and at the end of the second week he told her he had seen a doctor and been prescribed antibiotics. Veronica thought that was it, however, by the following week she still noticed his cold and flu when they spoke on the phone. Veronica asked him how come he still had the cold after taking antibiotics but he reassured his mother that it was getting better.
As a mother and a nurse Veronica was very worried and so she advised and urged him to go and get a blood test. Kevin listened and went to see a doctor and requested a blood test.
The 20th April was Veronica's birthday and they agreed Kevin would be coming to London for his mother's birthday. This happened to be the day he decided to go for the blood test. He had his blood test in the morning before travelling to London in the afternoon. On the train on his way to London Kevin received a call the Queen Alexandra Hospital in Portsmouth and was advised to immediately go back there as soon as possible. He was informed that they suspected leukaemia in his blood.
Kevin's mother, Veronica was at home cooking and excited for her birthday as well as looking forward to seeing Kevin when she received his call, he sounded very distressed and was unable to inform his mother of this alarming news. He handed the phone to his girlfriend who was with him, both were deeply distressed
Kevin and his partner immediately returned back to Queen Alexandra Hospital and Veronica, her friend and her other son Ian followed them to the hospital from London where the diagnosis was confirmed and a plan of treatment was put in place. All of their worlds changed from that day....
Kevin was diagnosed with Acute Myeloid Leukaemia (AML), an aggressive life-threatening blood cancer
Since then Kevin underwent his first course of intensive chemotherapy but he did not go into remission, so he had to undergo a second but much more intensive course of chemotherapy. He was in Queen Alexandra Hospital for 4 weeks before being transferred to Kings College Hospital in South London to be near to family and friends. He went into remission following the 2nd bout of chemotherapy course of treatments and was discharged from Hospital at the beginning of August 2012 with a plan to go back for a cord blood transplant.
Kevin recovered very well, was attending outpatient appointments twice a week and optimistic of the prospects of having a cord blood transplant. He was transfused with 2 cord blood donations in October 2012 and everything seemed to be going ok for the first 11 days, on the 12th day he collapsed and things went downhill from there on.
Kevin experienced a very bad case of Graft V's Host Disease (GVHD) which left him critically ill and fighting for his life. The family prayed and the community prayed for him and after a long stay in hospital the doctors thought the hospital environment was not doing him any good so he was discharged at the end of April 2013 with a plan to attend out patients appointments 3 times a week. At home Kevin needed a lot of support. Kevin slowly recovered with the help of family and friends. All seemd to be going well.
In the first week of September 2013 Kevin participated in a sailing exercise that had been organised by a coordinator for young people with leukaemia. When Kevin came back he had developed a bad case of cold/flu. It was treated when he went for his regular appointment at KCL. However, like before this cold/flu lingered and Veronica started to worry about it but kevin would insist it was getting better. Kevin went for his once a month routine appointment and blood tests at KCL in October 2013, revealed the leukaemia had come back.
This was devastating news for Kevin, his mother Veronica and his family and friends. He has since received 2 further courses of highly intensive chemotherapy and the doctors have said he needs a bone marrow transplant from an un-related ‘healthy' donor to beat the disease. There are currently no matching donors on the world bone marrow registries.
The only option the doctors have at present is to conduct a half-match donor transplant from his brother Ian or his mother. This process will only have a 10% chance of success
The odds of finding a Black donor match are around 1 in 100,000 - that's like finding 1 person out of a packed-out Wembley stadium.
Kevin's parents are from Kenya, East Africa; a genetically matched donor of similar ethnicity offers him the best chance of finding a donor.
Kevin's family are deeply concerned the East African Community will not support a campaign by Kevin Kararwa to sign up new potential donors. Historically very few East Africans have signed up to become potential donors; they either don't know, are fearful or have been misinformed about how simple it is to donate bone marrow cells. However, Kevin believes that his community will support kevin's appeal to find life saving donors.

A ONE AND ONLY MATCH4KEVIN DONOR DRIVE WILL TAKE PLACE: Sunday 24th November. Time: 4pm till 6.30pm. Venue: Presbyterian Church of East Africa, St Matthews Church, Dyson Road, London E15 4JX 

ALTERNATIVELY, IF YOU WISH TO REGISTER AS A POTENTIAL BONE MARROW BUT CAN'T ATTEND THE ABOVE DONOR DRIVE PLEASE VISIT OUR OFFICE IN CENTRAL CROYDON

Time: 10.30am till 4.30pm
ACLT Office
7A Rathbone Square
Tanfield Road
Croydon
CR0 4HA

Please call ACLT office to book a 30 minute appointment. Tel no. 020 8240 4480

CLICK HERE to see how you can register and be a potential bone marrow donor. Thank You
CLICK HERE to make a financial donation to Team Kevin Fundraising

TEXT DONATION: TEXT 'KEVK89 3' (TO GIVE £3), 'KEVK89 5' (TO GIVE £5) OR 'KEVK89 10' (TO GIVE £10) TO THE NUMBER 70070   

0 comments:

Don't Miss The Lilly Melody Show

0

                   Lilly Melody 

Usisahau kusikiliza kipindi cha THE LILLY MELODY SHOW #TLMSHOW on radiombao.com new shows every Sunday 5pm CT na marudio ni Mondays, Wednesdays and Fridays.
Unaweza kusikiliza pia kwa kupitia your smart phone by downloading the App TUNEIN and then search for radiombao utatupata hapo. 
ASANTENI SANA.

0 comments:

Queen Latifah: “I Am Not A Lesbian”

0

La! Akanusha!


“I promise you … La is just like a dude!”~Anonymous

Not too sure who Latifah thinks she’s fooling, but it ain’t us! Not only has the ‘Lady’s First’ lyricist long kept herself tightly locked-up in that closet –she’s now straight sayin’ she’s NOT a lesbian! Know why? Because West Hollywood’s gay community outed her last night, crowning the 43-year-old feminist “Queen of the Carnaval” for WeHo’s annual Halloween extravaganza.

“West Hollywood is excited that Queen Latifah is holding the 2013 title.”

Here’s what an insider exclusively tells HSK:

“Back in the day, La never missed a Sunday at Buddah Bar to holla at the chicks. Buddah Bar was the lesbian jump! All the industry dykes were there … MC Lyte, Missy, Queen Pen, Brat, Pam [from Total] … Monifah was always fucked up, dancing … La would be posted up at the front door with her all-dyke crew checking out each chick as they walked in. She’d be like ‘ya’ll is some pretty mutha fuckas.’

I promise you … La is just like a dude! Lucky for her ain’t no camera phones back then.”


Did Queen Latifah used to ride her motorcycle — with her cycle dyke crew — and her a Puerto Rican femme piece on the back? Of course! Just ask Latifah’s ex-boo Monifa.

Hehehehe!!!! 

0 comments:

Morris Chestnut Named ABFF’s 2014 Celebrity Ambassador!

0


Morris Chestnut is definitely having a breakout year. He’s the star of the highly-anticipated The Best Man sequel, and according to reports, he’s the new celebrity ambassador for the American Black Film Festival!

“It’s an honor and privilege to be the ambassador of the ABFF, taking place this year in New York—a city that has inspired and cultivated so much great talent in all areas of film,” Chestnut said

The four-day event, which producer Jeff Friday stared in 1997, is all about showcasing quality Black films.

“Morris Chestnut is a beloved and charismatic actor,” Friday said. “The role of the ABFF ambassador is to broaden public awareness of the festival as well as its mission, and you are about to see Morris everywhere with this weeks release of The Best Man Holiday — a must see!”

Next year’s festival will be hosted by Spike Lee’s wife Tonya Lewis Lee. “I deeply appreciate both Morris and Tonya’s commitment to advance opportunities for Black artists in our industry,” Friday added.

The 18th annual ABFF festival will be held in New York City June 19-22. Passes and tickets are on sale now.

Mmh! 

0 comments:

Queen Latifah Says Sex With Men Is Gross!!

0
Mambo ya dunia hayo!!'


ueen Latifah does not like having sex with men.  She tells Shaun Robinson in a new book about female empowerment, “I [used to] ingratiate myself to him [men] and then sleep with him [them]. Afterward, I felt disgusting- really gross and nasty … and I hated myself. That feeling was so horrible, I decided I would never do that again.”

No comment!!!!

Hehehehe!!!


0 comments:

Miley Looks With BIG &TUPAC Dress On.

0


0 comments:

Meet The Newest Cast Member On The ‘Real Housewives of Atlanta

0

rhoa season 5

The ladies of the “Real Housewives of Atlanta” are currently filming their sixth season, and word on the street is a NFL wife has replaced former cast member Kim Zolciak.

According to Reality Tea, Mynique Smith, who is happily married to former Atlanta Falcons player Chuck Smith, has been photographed with NeNe Leakes and the other housewives.

Sources say NeNe introduced Mynique, her friend of over 12 years, to the group.

During a recent interview, Chuck Smith said his wife hasn’t “officially” joined the cast but he will support her if she decides to sing not he dotted line.

“She is just hanging out with friends, as a guest of NeNe but anything is possible,” he said. “I support my wife in all endeavors she is involved in. I believe in her.


0 comments:

Who Needs a Blanket..!

0




0 comments: